Yawezekana na wewe unahitaji mtoto na umehangaika bila majibu. Ninakuomba kipindi hiki cha kongamano la Shilo Tanzania 2017 la Mungu Kujifunua katika maisha yetu, usipange kukosa. Hii ni kongamano ambalo hufanyika mara moja tu kwa mwaka na hukusanya maelfu ya watu kutoka kila kona ya dunia. Hudhuri kongamano hili ukiwa na IMANI ya kupokea jhaja ya moyo wako na ikiwezekana weka agano na Mungu wako. Kongamano hili litaanza Jumapili 3 hadi 10 Desemba 2017 katika kanisa la Mlima wa Moto Mikocheni "B" saa 3 asubuhi kwa siku za Jumapili na katikati ya wiki ni saa 9 alasiri hadi saa 1 usiku.
Yawezekana na wewe unahitaji mtoto na umehangaika bila majibu. Ninakuomba kipindi hiki cha kongamano la Shilo Tanzania 2017 la Mungu Kujifunua katika maisha yetu, usipange kukosa. Hii ni kongamano ambalo hufanyika mara moja tu kwa mwaka na hukusanya maelfu ya watu kutoka kila kona ya dunia. Hudhuri kongamano hili ukiwa na IMANI ya kupokea jhaja ya moyo wako na ikiwezekana weka agano na Mungu wako. Kongamano hili litaanza Jumapili 3 hadi 10 Desemba 2017 katika kanisa la Mlima wa Moto Mikocheni "B" saa 3 asubuhi kwa siku za Jumapili na katikati ya wiki ni saa 9 alasiri hadi saa 1 usiku.
Comments