RUMAFRICA Magazine

RUMAFRICA FASHION

RUMAFRICA FASHION

PICHA ZA MH. HARRISON MWAKYEMBE AKIONGEA NA WAIMBAJI WA NYIMBO ZA INJILI TANZANIA

Mh. Harrison Mwakyembe siku ya Jumatano 10.08.2017 aliweza kukutana na waimbaji wa nyimbo za Injili Tanzania kwaajili ya kuweza kusikiliza kero za waimbaji wanazokumbana nazo na kujaribu kuzitatua zile zinazowezekana. Mkutano huu ulidhaminiwa na PRAISE POWER RADIO 99.3FM ya kanisa la Mlima wa Moto Mikocheni "B" chini ya Mh. Bishop Dr. Gertrude Rwakatare. Mazungumzo yote yalirushwa LIVE na Praise Power Radio kwaajili ya wale waliokosa kufika katika mkutano huo.

Endelea kufuatilia post zetu kujua ni kitu gani kilijadiliwa siku hiyo. Mungu akubariki sana




















Christina Shusho












  Cosmos Chidumule





 Masanja Mkandamizaji











 Meneja wa kituo cha redio Praise Power radio 99.3FM Bwana George Mpella




















Dr. Mackenzi







 Kinondoni Revival Kwaya








Dr. Mackezi pamoja na wahudhuriaji wakimuombea Mh. harrison Mwakyembe









































 Mzee Kitime















 Mch. Dkt. Ndalima





 Mh. Harrison Mwakyembe
































































































































































































Comments