Mh. Harrison Mwakyembe siku ya Jumatano 10.08.2017 aliweza kukutana na waimbaji wa nyimbo za Injili Tanzania kwaajili ya kuweza kusikiliza kero za waimbaji wanazokumbana nazo na kujaribu kuzitatua zile zinazowezekana. Mkutano huu ulidhaminiwa na PRAISE POWER RADIO 99.3FM ya kanisa la Mlima wa Moto Mikocheni "B" chini ya Mh. Bishop Dr. Gertrude Rwakatare. Mazungumzo yote yalirushwa LIVE na Praise Power Radio kwaajili ya wale waliokosa kufika katika mkutano huo.
Endelea kufuatilia post zetu kujua ni kitu gani kilijadiliwa siku hiyo. Mungu akubariki sana
Christina Shusho
Cosmos Chidumule
Masanja Mkandamizaji
Meneja wa kituo cha redio Praise Power radio 99.3FM Bwana George Mpella
Dr. Mackenzi
Kinondoni Revival Kwaya
Dr. Mackezi pamoja na wahudhuriaji wakimuombea Mh. harrison Mwakyembe
Mzee Kitime
Comments